![25 χρόνια Kerakoll Hellas: από προμηθευτής υλικών σε δύναμη που συνδέει ανθρώπους](https://i1.prth.gr/images/360x203/files/2024-07-24/kerakoo_hd_fin.jpg)
Κατά τη διάρκεια αυτών των χρόνων επιβεβαιώνει την ηγετική της θέση στο κλάδο με θετικούς δείκτες ανάπτυξης και πλέον προχωρά στην υλοποίηση ενός ισχυρού πλάνου επενδύσεων
Watu 13 wamefariki dunia na wengine 6 kujeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi dogo la abiria lililogongana ana kwa ana na lori la mafuta katika eneo la Somanga wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Tanzania.#KBCRadioTaifa ^FN pic.twitter.com/oS3xcADfdi
— KBC Radio Taifa (@RadioTaifaFM) April 22, 2024
#TANZANIA: WATU 13 WAFARIKI DUNIA KWENYE AJALI MKOANI LINDI
— MwanzoTvPlus (@MwanzoTvPlus) April 22, 2024
Watu 13 wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea Somanga kuelekea Kilwa Kivinje kugongana uso kwa uso na roli la mafuta. Kamanda wa Jeshi la Polisi… pic.twitter.com/Lu8oHFxh2U