
Με την PrimaDonna Aromatic της De’Longhi απολαμβάνουμε το ζεστό ή κρύο ρόφημά μας στο χώρο μας, από τον κόκκο στο φλιτζάνι, όπως ακριβώς θα το κάναμε στα πιο premium café του κόσμου
Watu 13 wamefariki dunia na wengine 6 kujeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi dogo la abiria lililogongana ana kwa ana na lori la mafuta katika eneo la Somanga wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Tanzania.#KBCRadioTaifa ^FN pic.twitter.com/oS3xcADfdi
— KBC Radio Taifa (@RadioTaifaFM) April 22, 2024
#TANZANIA: WATU 13 WAFARIKI DUNIA KWENYE AJALI MKOANI LINDI
— MwanzoTvPlus (@MwanzoTvPlus) April 22, 2024
Watu 13 wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea Somanga kuelekea Kilwa Kivinje kugongana uso kwa uso na roli la mafuta. Kamanda wa Jeshi la Polisi… pic.twitter.com/Lu8oHFxh2U